ZanMalipo

Alhadj Dk.Hussein Ali Mwinyi,ameitaka Kamati ya Msikiti wa Masjid Taqwa kushirikiana na waumini wa mskiti huo katika utatuzi wa changamoto mbali mbali zinazoikabili jamii.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhadj Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameitaka Kamati ya Msikiti wa Masjid Taqwa kushirikiana na waumin wa mskiti huo katika utatuzi wa changamoto mbali mbali zinazoikabili jamii.Alhadj Dk.Mwinyi ametowa wito huo leo katika Ufunguzi wa msikiti mkuu wa Ijumaa wa ‘Masjid Taqwa’ uliopo Bambi Wilaya ya Kati,Mkoa …

Alhadj Dk.Hussein Ali Mwinyi,ameitaka Kamati ya Msikiti wa Masjid Taqwa kushirikiana na waumini wa mskiti huo katika utatuzi wa changamoto mbali mbali zinazoikabili jamii. Read More »

Dk.Hussein Ali Mwinyi ameondoka nchini leo kuelekea Maputo nchini Msumbiji

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameondoka nchini leo kuelekea Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), utakaofanyika nchini humo Mei 27,2021. Akiondoka katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Karume Zanzibar, …

Dk.Hussein Ali Mwinyi ameondoka nchini leo kuelekea Maputo nchini Msumbiji Read More »

Dk.Hussein Mwinyi ameahidi hatua kali zitachukuliwa kwa wote waliohusika na kasoro zilizotolewa katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kwamba hatua kali zitachukuliwa kwa wale wote waliohusika na kasoro zilitolewa katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ili kasoro hizo zisije kurudiwa tena.Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo mara baada ya kukabidhiwa Ripoti za Hesabu za …

Dk.Hussein Mwinyi ameahidi hatua kali zitachukuliwa kwa wote waliohusika na kasoro zilizotolewa katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Read More »

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya Zanzibar imetakiwa kushirikiana vyema na Chama cha SKAUTI Tanzania.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza haja kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya Zanzibar kushirikiana vyema na Chama cha SKAUTI Tanzania ili kuwajengea vijana uwezo mzuri wa stadi za maisha pamoja na uzalendo.Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo, Ikulu Jijini Zanzibar wakati alipokutana na …

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya Zanzibar imetakiwa kushirikiana vyema na Chama cha SKAUTI Tanzania. Read More »

Nchi za Denmark,Finland,Norway na Sweden ya kuendelea kuiunga mkono Zanzibar kiuchumi na kimaendeleo.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa azma ya nchi za Denmark, Finland, Norway na Sweden ya kuendelea kuiunga mkono Zanzibar kiuchumi na kimaendeleo inaleta faraja.Rais Dk. Mwinyi alieleza hayo leo wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wa nchi hizo akiwemo Balozi Mette Norgaard Dissing-Spandet kutoka …

Nchi za Denmark,Finland,Norway na Sweden ya kuendelea kuiunga mkono Zanzibar kiuchumi na kimaendeleo. Read More »